We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 104

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 103 Zaburi Zaburi 105 →

1Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.

2Amejifunika katika nuru kama vile kwa vazi,

3na kuziweka nguzo za orofa yake juu ya maji.

4Huzifanya pepo kuwa wajumbe104:4 Au: malaika. wake,

5Ameiweka dunia kwenye misingi yake,

6Uliifunika kwa kilindi kama kwa vazi,

7Lakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia,

8yakapanda milima, yakateremka mabondeni,

9Uliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka,

10Huzifanya chemchemi zimwage maji mabondeni,

11Huwapa maji wanyama wote wa kondeni,

12Ndege wa angani hufanya viota kando ya maji,

13Huinyeshea milima kutoka orofa zake,

14Huyafanya majani ya mifugo yaote,

15divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu,

16Miti ya Bwana inanyeshewa vizuri,

17Humo ndege hufanya viota vyao,

18Milima mirefu ni makao ya mbuzi-mwitu,

19Mwezi hugawanya majira,

20Unaleta giza, kunakuwa usiku,

21Simba hunguruma kwa mawindo yao,

22Jua huchomoza, nao huondoka,

23Kisha mwanadamu huenda kazini mwake,

24Ee Bwana, jinsi matendo yako yalivyo mengi!

25Pale kuna bahari, kubwa na yenye nafasi tele,

26Huko meli huenda na kurudi,

27Hawa wote wanakutazamia wewe,

28Wakati unapowapa,

29Unapoficha uso wako,

30Unapopeleka Roho wako,

31Utukufu wa Bwana na udumu milele,

32yeye aitazamaye dunia, nayo ikatetemeka,

33Nitamwimbia Bwana maisha yangu yote;

34Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye,

35Lakini wenye dhambi na watoweke katika dunia

← Zaburi 103 Zaburi Zaburi 105 →