1Kusanyikeni pamoja, kusanyikeni pamoja,
2kabla ya wakati ulioamriwa haujafika
3Mtafuteni Bwana, enyi nyote wanyenyekevu wa nchi,
4Gaza utaachwa
5Ole wenu ninyi ambao mnaishi kando ya bahari,
6Nchi kando ya bahari, mahali ambapo wanaishi Wakerethi,
7Itakuwa mali ya mabaki ya nyumba ya Yuda,
8“Nimeyasikia matukano ya Moabu
9Hakika, kama niishivyo,”
10Hiki ndicho watarudishiwa kwa ajili ya kiburi chao,
11Bwana atakuwa wa kuhofisha kwao
12“Ninyi pia, ee Wakushi,
13Mungu atanyoosha mkono wake dhidi ya kaskazini
14Makundi ya kondoo na ngʼombe yatajilaza pale,
15Huu ndio mji uliotukuka na kuishi kwa furaha