We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Sefania 2

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Sefania 1 Sefania Sefania 3 →

1Kusanyikeni pamoja, kusanyikeni pamoja,

2kabla ya wakati ulioamriwa haujafika

3Mtafuteni Bwana, enyi nyote wanyenyekevu wa nchi,

4Gaza utaachwa

5Ole wenu ninyi ambao mnaishi kando ya bahari,

6Nchi kando ya bahari, mahali ambapo wanaishi Wakerethi,

7Itakuwa mali ya mabaki ya nyumba ya Yuda,

8“Nimeyasikia matukano ya Moabu

9Hakika, kama niishivyo,”

10Hiki ndicho watarudishiwa kwa ajili ya kiburi chao,

11Bwana atakuwa wa kuhofisha kwao

12“Ninyi pia, ee Wakushi,

13Mungu atanyoosha mkono wake dhidi ya kaskazini

14Makundi ya kondoo na ngʼombe yatajilaza pale,

15Huu ndio mji uliotukuka na kuishi kwa furaha

← Sefania 1 Sefania Sefania 3 →