We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Sefania 1

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

Sefania Sefania 2 →

1Neno la Bwana lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda:

2Bwana asema,

3“Nitafagilia mbali watu na wanyama;

4“Nitaiadhibu Yuda

5wale ambao husujudu juu ya mapaa

6wale wanaoacha kumfuata Bwana,

7Nyamazeni mbele za Bwana Mwenyezi,

8Katika siku ya dhabihu ya Bwana

9Katika siku hiyo nitaadhibu wote ambao

10Bwana asema, “Katika siku hiyo

11Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;

12Wakati huo nitasaka mji wa Yerusalemu kwa taa,

13Utajiri wao utatekwa nyara,

14“Siku kubwa ya Bwana iko karibu:

15Siku ile ni siku ya ghadhabu,

16siku ya tarumbeta na mlio wa vita

17Nitawaletea watu dhiki,

18Fedha yao wala dhahabu yao

Sefania Sefania 2 →