1Neno la Bwana lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda:
2Bwana asema,
3“Nitafagilia mbali watu na wanyama;
4“Nitaiadhibu Yuda
5wale ambao husujudu juu ya mapaa
6wale wanaoacha kumfuata Bwana,
7Nyamazeni mbele za Bwana Mwenyezi,
8Katika siku ya dhabihu ya Bwana
9Katika siku hiyo nitaadhibu wote ambao
10Bwana asema, “Katika siku hiyo
11Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;
12Wakati huo nitasaka mji wa Yerusalemu kwa taa,
13Utajiri wao utatekwa nyara,
14“Siku kubwa ya Bwana iko karibu:
15Siku ile ni siku ya ghadhabu,
16siku ya tarumbeta na mlio wa vita
17Nitawaletea watu dhiki,
18Fedha yao wala dhahabu yao