1Ole mji wa wadhalimu,
2Hautii mtu yeyote,
3Maafisa wake ni simba wangurumao,
4Manabii wake ni wenye kiburi,
5Bwana aliye ndani yake ni mwenye haki,
6“Nimeyafutilia mbali mataifa,
7Niliuambia huo mji,
8Bwana anasema,
9“Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa,
10Kutoka ngʼambo ya mito ya Kushi
11Siku hiyo hutaaibishwa
12Lakini nitakuachia ndani yako
13Mabaki ya Israeli hayatafanya kosa;
14Imba, ee Binti Sayuni;
15Bwana amekuondolea adhabu yako,
16Katika siku hiyo watauambia Yerusalemu,
17Bwana Mungu wako yu pamoja nawe,
18“Huzuni katika sikukuu zilizoamriwa
19Wakati huo nitawashughulikia
20Wakati huo nitawakusanya;