1Hekima amejenga nyumba yake;
2Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake;
3Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita
4Anawaambia wale wasio na akili,
5Njooni, mle chakula changu
6Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi;
7“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha
8Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia;
9Mfundishe mtu mwenye hekima
10“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,
11Kwa maana kwa msaada wangu
12Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo;
13Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele;
14Huketi kwenye mlango wa nyumba yake,
15akiita wale wapitao karibu,
16Anawaambia wale wasio na akili,
17“Maji yaliyoibiwa ni matamu;
18Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo,