1Mithali za Solomoni:
2Hazina zilizopatikana kwa njia mbaya hazifai,
3Bwana hawaachi waadilifu kukaa njaa,
4Mikono mivivu hufanya mtu kuwa maskini
5Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi
6Baraka huwa taji kichwani mwa mwenye haki,
7Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka,
8Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo,
9Mtu mwadilifu hutembea salama,
10Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha huzuni,
11Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya uzima,
12Chuki huchochea faraka,
13Hekima hupatikana katika midomo ya wenye kupambanua,
14Wenye hekima huhifadhi maarifa,
15Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome,
16Ujira wa wenye haki huwaletea uzima,
17Anayekubali kuadibishwa yuko katika njia ya uzima,
18Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya uongo,
19Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani,
20Ulimi wa mwenye haki ni fedha iliyo bora,
21Midomo ya mwenye haki hulisha wengi,
22Baraka ya Bwana hutajirisha,
23Mpumbavu hufurahia tabia mbaya,
24Kile anachoogopa mwovu ndicho kitakachompata;
25Tufani inapopita, waovu hutoweka,
26Kama siki ilivyo kwa meno na moshi kwa macho,
27Kumcha Bwana huongeza urefu wa maisha,
28Tarajio la mwenye haki ni furaha,
29Njia ya Bwana ni kimbilio kwa wenye haki,
30Kamwe wenye haki hawataondolewa,
31Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima,
32Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa,