We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Mithali 8

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Mithali 7 Mithali Mithali 9 →

1Je, hekima haitani?

2Juu ya miinuko karibu na njia,

3kando ya malango yaelekeayo mjini,

4“Ni ninyi wanaume, ninaowaita;

5Ninyi ambao ni wajinga, pateni akili;

6Sikilizeni, kwa maana nina mambo muhimu ya kusema;

7Kinywa changu husema lililo kweli,

8Maneno yote ya kinywa changu ni haki;

9Kwa wenye kupambanua yote ni sahihi;

10Chagua mafundisho yangu badala ya fedha,

11kwa maana hekima ina thamani kuliko marijani

12“Mimi hekima, nakaa pamoja na busara;

13Kumcha Bwana ni kuchukia uovu;

14Ushauri na hukumu sahihi ni vyangu;

15Kwa msaada wangu wafalme hutawala

16kwa msaada wangu wakuu hutawala,

17Nawapenda wale wanipendao,

18Utajiri na heshima viko kwangu,

19Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi;

20Natembea katika njia ya unyofu

21nawapa utajiri wale wanipendao

22“Bwana aliniumba mwanzoni mwa kazi yake,

23niliteuliwa tangu milele,

24Wakati hazijakuwepo bahari, nilikwishazaliwa,

25kabla milima haijawekwa mahali pake,

26kabla hajaumba dunia wala mashamba yake

27Nilikuwepo alipoziweka mbingu mahali pake,

28wakati aliweka mawingu juu

29wakati aliiwekea bahari mpaka wake

30Wakati huo nilikuwa fundi stadi kando yake.

31nikifurahi katika dunia yake yote

32“Basi sasa wanangu, nisikilizeni;

33Sikilizeni mafundisho yangu mwe na hekima;

34Heri mtu yule anisikilizaye mimi,

35Kwa maana yeyote anipataye mimi amepata uzima

36Lakini yeyote ashindwaye kunipata

← Mithali 7 Mithali Mithali 9 →