1Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu,
2ili uweze kutunza busara
3Kwa maana midomo ya mwanamke kahaba
4lakini mwisho wake ni mchungu kama nyongo,
5Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo;
6Yeye hafikiri juu ya njia ya uzima;
7Sasa basi wanangu, nisikilizeni;
8Njia zenu ziwe mbali naye,
9usije ukatoa nguvu zako nzuri kwa wengine
10wageni wasije wakasherehekea utajiri wako
11Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa uchungu,
12Utasema, “Tazama jinsi gani nilivyochukia adhabu!
13Sikuwatii walimu wangu
14Nimefika ukingoni mwa maangamizi kabisa
15Kunywa maji kutoka kwenye kisima chako mwenyewe,
16Je, chemchemi zako zifurike katika barabara za mji
17Na viwe vyako mwenyewe,
18Chemchemi yako na ibarikiwe
19Kulungu jike apendaye, kulungu mzuri:
20Kwa nini mwanangu, utekwe na mwanamke kahaba?
21Kwa maana njia za mtu ni wazi kabisa mbele za Bwana,
22Matendo mabaya ya mtu mwovu humnasa yeye mwenyewe;
23Atakufa kwa kukosa nidhamu,