We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Mithali 4

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Mithali 3 Mithali Mithali 5 →

1Sikilizeni wanangu, mafundisho ya baba yenu;

2Ninawapa mafundisho ya maana,

3Nilipokuwa mvulana mdogo katika nyumba ya baba yangu,

4baba alinifundisha akisema,

5Pata hekima, pata ufahamu;

6Usimwache hekima naye atakuweka salama;

7Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima.

8Mstahi, naye atakukweza;

9Atakuvika shada la neema kichwani mwako

10Sikiliza mwanangu, kubali ninachokuambia,

11Ninakuongoza katika njia ya hekima

12Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa;

13Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;

14Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu

15Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo;

16Kwa kuwa hawawezi kulala mpaka watende uovu;

17Wanakula mkate wa uovu,

18Njia ya wenye haki ni kama nuru ya kwanza ya mapambazuko,

19Lakini njia ya waovu ni kama giza nene;

20Mwanangu, yasikilize kwa makini yale ninayokuambia;

21Usiruhusu yaondoke machoni pako,

22kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata

23Zaidi ya yote, linda moyo wako, kuliko yote uyalindayo,

24Epusha kinywa chako na ukaidi;

25Macho yako na yatazame mbele,

26Sawazisha mapito ya miguu yako

27Usigeuke kulia wala kushoto;

← Mithali 3 Mithali Mithali 5 →