We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Mithali 3

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Mithali 2 Mithali Mithali 4 →

1Mwanangu, usisahau mafundisho yangu,

2kwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako

3Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane nawe;

4Ndipo utapata kibali na jina zuri

5Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote

6katika njia zako zote mkiri yeye,

7Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe;

8Hii itakuletea afya mwilini mwako,

9Mheshimu Bwana kwa mali zako na

10ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika,

11Mwanangu, usiidharau adhabu ya Bwana

12kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao,

13Heri mtu yule aonaye hekima,

14kwa maana hekima ana faida kuliko fedha

15Hekima ana thamani kuliko marijani;

16Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume;

17Njia zake zinapendeza,

18Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia;

19Kwa hekima Bwana aliiweka misingi ya dunia,

20kwa maarifa yake vilindi viligawanywa,

21Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara,

22ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako

23Kisha utaenda katika njia yako salama,

24ulalapo, hautaogopa;

25Usiogope maafa ya ghafula

26kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako

27Usizuie wema kwa wale wanaostahili

28Usimwambie jirani yako,

29Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako,

30Usimshtaki mtu bila sababu,

31Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri

32kwa kuwa Bwana humchukia mtu mpotovu,

33Laana ya Bwana i juu ya nyumba ya mwovu,

34Huwadhihaki wale wanaodhihaki,

35Wenye hekima hurithi heshima,

← Mithali 2 Mithali Mithali 4 →