1Mwanangu, usisahau mafundisho yangu,
2kwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako
3Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane nawe;
4Ndipo utapata kibali na jina zuri
5Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote
6katika njia zako zote mkiri yeye,
7Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe;
8Hii itakuletea afya mwilini mwako,
9Mheshimu Bwana kwa mali zako na
10ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika,
11Mwanangu, usiidharau adhabu ya Bwana
12kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao,
13Heri mtu yule aonaye hekima,
14kwa maana hekima ana faida kuliko fedha
15Hekima ana thamani kuliko marijani;
16Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume;
17Njia zake zinapendeza,
18Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia;
19Kwa hekima Bwana aliiweka misingi ya dunia,
20kwa maarifa yake vilindi viligawanywa,
21Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara,
22ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako
23Kisha utaenda katika njia yako salama,
24ulalapo, hautaogopa;
25Usiogope maafa ya ghafula
26kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako
27Usizuie wema kwa wale wanaostahili
28Usimwambie jirani yako,
29Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako,
30Usimshtaki mtu bila sababu,
31Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri
32kwa kuwa Bwana humchukia mtu mpotovu,
33Laana ya Bwana i juu ya nyumba ya mwovu,
34Huwadhihaki wale wanaodhihaki,
35Wenye hekima hurithi heshima,