We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Mithali 2

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Mithali 1 Mithali Mithali 3 →

1Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu

2kutega sikio lako kwenye hekima

3na kama ukiita busara

4na kama utaitafuta kama fedha

5ndipo utakapoelewa kumcha Bwana

6Kwa maana Bwana hutoa hekima,

7Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,

8kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki

9Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki

10Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako,

11Busara itakuhifadhi

12Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,

13wale waachao mapito yaliyonyooka

14wale wapendao kutenda mabaya

15ambao mapito yao yamepotoka

16Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba,

17aliyemwacha mwenzi wa ujana wake

18Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo

19Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi,

20Hivyo utatembea katika njia za watu wema

21Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi,

22Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi,

← Mithali 1 Mithali Mithali 3 →