1Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu
2kutega sikio lako kwenye hekima
3na kama ukiita busara
4na kama utaitafuta kama fedha
5ndipo utakapoelewa kumcha Bwana
6Kwa maana Bwana hutoa hekima,
7Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,
8kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki
9Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki
10Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako,
11Busara itakuhifadhi
12Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,
13wale waachao mapito yaliyonyooka
14wale wapendao kutenda mabaya
15ambao mapito yao yamepotoka
16Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba,
17aliyemwacha mwenzi wa ujana wake
18Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo
19Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi,
20Hivyo utatembea katika njia za watu wema
21Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi,
22Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi,