1Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi,
2Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi;
3Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake,
4Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti,
5Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili,
6Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe
7Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini,
8Wenye mzaha huuchochea mji,
9Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu,
10Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu
11Mpumbavu huonyesha hasira yake yote,
12Kama mtawala akisikiliza uongo,
13Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili:
14Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki,
15Fimbo ya maonyo hutia hekima,
16Wakati waovu wanapostawi,
17Mrudi mwanao, naye atakupa amani,
18Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia,
19Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu,
20Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka?
21Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani,
22Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,
23Kiburi cha mtu humshusha,
24Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe;
25Kuwaogopa watu huwa ni mtego,
26Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala,
27Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu;