1Mtu mwovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayemfukuza,
2Wakati nchi inapokuwa na uasi, inakuwa na viongozi wengi,
3Mtu maskini amwoneaye yeye aliye maskini zaidi
4Wale waiachao sheria huwasifu waovu,
5Watu wabaya hawaelewi haki,
6Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama
7Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye ufahamu,
8Yeye aongezaye utajiri wake kwa riba kubwa mno
9Kama mtu yeyote akikataa kusikia sheria,
10Yeye ambaye humwongoza mwenye haki kwenye mapito mabaya,
11Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni pake mwenyewe,
12Mwenye haki ashindapo, kuna furaha kubwa,
13Yeye afichaye dhambi zake hatafanikiwa,
14Amebarikiwa mtu ambaye siku zote humcha Bwana,
15Kama simba angurumaye au dubu ashambuliaye,
16Mtawala dhalimu hana akili,
17Mtu mwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua
18Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama
19Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele,
20Mtu mwaminifu atabarikiwa sana,
21Kuonyesha upendeleo si vizuri,
22Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri,
23Yeye amkemeaye mtu mwishoni hupata kibali zaidi,
24Yeye amwibiaye babaye au mamaye
25Mtu mwenye tamaa huchochea fitina,
26Yeye ajitumainiaye mwenyewe ni mpumbavu,
27Yeye ampaye maskini
28Wakati waovu watawalapo,