1Usijisifu kwa ajili ya kesho,
2Mwache mwingine akusifu,
3Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo,
4Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika,
5Afadhali karipio la wazi
6Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu,
7Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali,
8Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake,
9Manukato na uvumba huleta furaha moyoni,
10Usimwache rafiki yako wala rafiki wa baba yako,
11Mwanangu, uwe na hekima,
12Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,
13Chukua vazi la yule awekaye dhamana
14Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu
15Mke mgomvi ni kama
16Kumzuia yeye ni kama kuuzuia upepo
17Kama vile chuma kinoavyo chuma,
18Yeye autunzaye mtini atakula tunda lake,
19Kama uso uonekanavyo kwenye maji,
20Kuzimu na Uharibifu havishibi
21Kalibu ni kwa ajili ya fedha
22Hata ukimtwanga mpumbavu kwenye kinu,
23Hakikisha kuwa unajua hali ya makundi yako
24Kwa kuwa utajiri haudumu milele,
25Wakati majani makavu yameondolewa
26wana-kondoo watakupatia mavazi
27Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi