1Hizi ni mithali zaidi za Solomoni, zilizonakiliwa na watu wa Hezekia mfalme wa Yuda:
2Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo,
3Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini,
4Ondoa takataka kwenye madini ya fedha,
5Ondoa waovu mbele ya mfalme,
6Usijikweze mwenyewe mbele ya mfalme,
7ni afadhali yeye akuambie, “Njoo huku juu,”
8usiharakishe kukipeleka mahakamani,
9Kama ukifanya shauri na jirani yako,
10ama yeye aisikiaye aweza kukuaibisha
11Neno lisemwalo kwa wakati ufaao
12Kama vile kipuli cha dhahabu
13Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno
14Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua
15Kwa njia ya uvumilivu mtawala aweza kushawishiwa,
16Ukipata asali, kula kiasi tu cha kukutosha,
17Ingiza mguu wako nyumbani kwa jirani yako mara chache,
18Kama vile rungu au upanga au mshale mkali
19Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa,
20Kama vile avuaye mavazi siku ya baridi,
21Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale;
22Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake,
23Kama vile upepo wa kaskazini uletavyo mvua,
24Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,
25Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochoka
26Kama vile chemchemi iliyotibuliwa matope au
27Si vyema kula asali nyingi sana,
28Kama vile mji ambao kuta zake zimebomoka