We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Mithali 23

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Mithali 22 Mithali Mithali 24 →

1Uketipo kula chakula na mtawala,

2na utie kisu kooni mwako

3Usitamani vyakula vyake vitamu

4Usijitaabishe ili kuupata utajiri,

5Kufumba na kufumbua utajiri hutoweka,

6Usile chakula cha mtu mchoyo,

7kwa maana yeye ni aina ya mtu

8Utatapika kile kidogo ulichokula,

9Usizungumze na mpumbavu,

10Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani

11kwa kuwa Mtetezi wao ni mwenye nguvu,

12Elekeza moyo wako kwenye mafundisho

13Usimnyime mtoto adhabu,

14Mwadhibu kwa fimbo

15Mwanangu, kama moyo wako una hekima,

16utu wangu wa ndani utafurahi,

17Usiuruhusu moyo wako kuwaonea wivu wenye dhambi,

18Hakika kuna tumaini la baadaye kwa ajili yako,

19Sikiliza, mwanangu na uwe na hekima,

20Usiwe miongoni mwa wanywao mvinyo,

21kwa maana walevi na walafi huwa maskini,

22Msikilize baba yako, aliyekuzaa,

23Nunua kweli wala usiiuze,

24Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa,

25Baba yako na mama yako na wafurahi,

26Mwanangu, nipe moyo wako,

27kwa maana kahaba ni shimo refu

28Kama mnyangʼanyi, hungojea akivizia,

29Ni nani mwenye ole?

30Ni hao wakaao sana kwenye mvinyo,

31Usiukodolee macho mvinyo wakati ukiwa mwekundu,

32Mwishowe huuma kama nyoka

33Macho yako yataona mambo mageni

34Utakuwa kama alalaye katikati ya bahari,

35Utasema, “Wamenipiga lakini sikuumia!

← Mithali 22 Mithali Mithali 24 →