1Uketipo kula chakula na mtawala,
2na utie kisu kooni mwako
3Usitamani vyakula vyake vitamu
4Usijitaabishe ili kuupata utajiri,
5Kufumba na kufumbua utajiri hutoweka,
6Usile chakula cha mtu mchoyo,
7kwa maana yeye ni aina ya mtu
8Utatapika kile kidogo ulichokula,
9Usizungumze na mpumbavu,
10Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani
11kwa kuwa Mtetezi wao ni mwenye nguvu,
12Elekeza moyo wako kwenye mafundisho
13Usimnyime mtoto adhabu,
14Mwadhibu kwa fimbo
15Mwanangu, kama moyo wako una hekima,
16utu wangu wa ndani utafurahi,
17Usiuruhusu moyo wako kuwaonea wivu wenye dhambi,
18Hakika kuna tumaini la baadaye kwa ajili yako,
19Sikiliza, mwanangu na uwe na hekima,
20Usiwe miongoni mwa wanywao mvinyo,
21kwa maana walevi na walafi huwa maskini,
22Msikilize baba yako, aliyekuzaa,
23Nunua kweli wala usiiuze,
24Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa,
25Baba yako na mama yako na wafurahi,
26Mwanangu, nipe moyo wako,
27kwa maana kahaba ni shimo refu
28Kama mnyangʼanyi, hungojea akivizia,
29Ni nani mwenye ole?
30Ni hao wakaao sana kwenye mvinyo,
31Usiukodolee macho mvinyo wakati ukiwa mwekundu,
32Mwishowe huuma kama nyoka
33Macho yako yataona mambo mageni
34Utakuwa kama alalaye katikati ya bahari,
35Utasema, “Wamenipiga lakini sikuumia!