We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Mithali 22

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Mithali 21 Mithali Mithali 23 →

1Heri kuchagua jina jema kuliko utajiri mwingi,

2Tajiri na maskini wanafanana kwa hili:

3Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,

4Unyenyekevu na kumcha Bwana

5Katika mapito ya waovu kuna miiba na mitego,

6Mfundishe mtoto njia impasayo kuiendea,

7Matajiri huwatawala maskini

8Yeye aupandaye uovu huvuna taabu,

9Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa

10Mfukuze mwenye dhihaka,

11Yeye apendaye moyo safi na yeye ambaye maneno yake ni ya neema,

12Macho ya Bwana hulinda maarifa,

13Mvivu husema, “Yuko simba nje!”

14Kinywa cha mwanamke kahaba ni shimo refu;

15Upumbavu umefungwa ndani ya moyo wa mtoto,

16Yeye amwoneaye maskini ili kujiongezea mali,

17Tega sikio na usikie misemo ya wenye hekima,

18kwa maana inapendeza unapoyahifadhi moyoni mwako

19Ili tumaini lako liwe katika Bwana,

20Je, sijakuandikia misemo thelathini,

21kukufundisha maneno ya kweli na ya kuaminika,

22Usiwadhulumu maskini kwa sababu ni maskini,

23kwa sababu Bwana atalichukua shauri lao

24Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira ya haraka,

25la sivyo utajifunza njia zake

26Usiwe mwenye kupana mikono katika rehani,

27Kama ukikosa njia ya kulipa,

28Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani

29Je, unamwona mtu stadi katika kazi yake?

← Mithali 21 Mithali Mithali 23 →