1Moyo wa mfalme uko katika mkono wa Bwana;
2Njia zote za mwanadamu huonekana sawa kwake,
3Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika
4Macho ya kudharau na moyo wa kiburi,
5Mipango ya mwenye bidii huelekeza kwenye faida,
6Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo
7Jeuri ya waovu itawaburuta mbali,
8Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu,
9Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,
10Mtu mwovu hutamani sana ubaya,
11Wakati mwenye mzaha ameadhibiwa,
12Mwenye Haki huyajua yanayotendeka katika nyumba za waovu,
13Mtu akiziba masikio asisikie kilio cha maskini,
14Zawadi itolewayo kwa siri hutuliza hasira
15Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa wenye haki,
16Mtu anayepotea kutoka mapito ya ufahamu,
17Mtu apendaye anasa atakuwa maskini,
18Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki,
19Ni afadhali kuishi jangwani
20Katika nyumba ya mwenye hekima
21Yeye afuatiaye haki na upendo
22Mtu mwenye hekima huushambulia mji wa wenye nguvu,
23Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake
24Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake;
25Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake,
26Mchana kutwa hutamani zaidi,
27Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo,
28Shahidi wa uongo ataangamia,
29Mtu mwovu ana uso wa ushupavu,
30Hakuna hekima, wala akili, wala mpango
31Farasi huandaliwa kwa ajili ya siku ya vita,