1Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi;
2Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba;
3Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi,
4Mvivu halimi kwa majira;
5Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina,
6Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma,
7Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama,
8Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu,
9Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi;
10Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti,
11Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake,
12Masikio yasikiayo na macho yaonayo,
13Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini,
14“Haifai, haifai!” asema mnunuzi,
15Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi,
16Chukua vazi la yule awekaye dhamana
17Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu,
18Fanya mipango kwa kutafuta mashauri,
19Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika,
20Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake,
21Urithi upatikanao haraka mwanzoni,
22Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!”
23Bwana anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu,
24Hatua za mtu huongozwa na Bwana.
25Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka
26Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu,
27Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu,
28Upendo na uaminifu humweka mfalme salama,
29Utukufu wa vijana ni nguvu zao,
30Mapigo na majeraha huusafisha ubaya,