1Afadhali mtu maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama,
2Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa,
3Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu maisha yake
4Mali huleta marafiki wengi,
5Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,
6Wengi hujipendekeza kwa mtawala
7Mtu maskini huepukwa na ndugu zake wote:
8Yeye apataye hekima huipenda nafsi yake mwenyewe,
9Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,
10Haistahili mpumbavu kuishi katika anasa,
11Hekima ya mtu humpa uvumilivu,
12Ghadhabu ya mfalme ni kama mngurumo wa simba,
13Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye,
14Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa wazazi,
15Uvivu huleta usingizi mzito,
16Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai wake,
17Yeye amhurumiaye maskini humkopesha Bwana,
18Mrudi mwanao, kwa maana katika hiyo kuna tumaini,
19Mtu mwenye kukasirika haraka ni lazima atapata adhabu yake,
20Sikiliza mashauri na ukubali mafundisho,
21Kuna mipango mingi ndani ya moyo wa mtu,
22Lile mtu alionealo shauku ni upendo usio na mwisho,
23Kumcha Bwana huongoza kwenye uzima,
24Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani,
25Mpige mwenye mzaha, naye mjinga atajifunza busara,
26Yeye amwibiaye baba yake na kumfukuza mama yake
27Mwanangu, ukiacha kusikiliza mafundisho,
28Shahidi mla rushwa hudhihaki hukumu
29Adhabu zimeandaliwa kwa ajili ya wenye dhihaka