We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Mithali 18

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Mithali 17 Mithali Mithali 19 →

1Mtu ajitengaye na wengine

2Mpumbavu hafurahii ufahamu,

3Wakati uovu unapokuja, dharau huja pia,

4Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha maji,

5Sio vizuri kumpendelea mtu mwovu,

6Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi

7Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake

8Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu;

9Mtu aliye mlegevu katika kazi yake

10Jina la Bwana ni ngome imara,

11Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome,

12Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi,

13Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza,

14Roho ya mtu itastahimili katika ugonjwa

15Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa,

16Zawadi humfungulia njia mtoaji,

17Yeye aliye wa kwanza kuleta mashtaka huonekana sahihi,

18Kupiga kura hukomesha mashindano

19Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuridhika

20Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake,

21Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi,

22Apataye mke apata kitu chema

23Mtu maskini huomba kuhurumiwa

24Mtu mwenye marafiki wengi wanaweza kumharibu,

← Mithali 17 Mithali Mithali 19 →