1Mtu ajitengaye na wengine
2Mpumbavu hafurahii ufahamu,
3Wakati uovu unapokuja, dharau huja pia,
4Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha maji,
5Sio vizuri kumpendelea mtu mwovu,
6Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi
7Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake
8Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu;
9Mtu aliye mlegevu katika kazi yake
10Jina la Bwana ni ngome imara,
11Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome,
12Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi,
13Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza,
14Roho ya mtu itastahimili katika ugonjwa
15Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa,
16Zawadi humfungulia njia mtoaji,
17Yeye aliye wa kwanza kuleta mashtaka huonekana sahihi,
18Kupiga kura hukomesha mashindano
19Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuridhika
20Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake,
21Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi,
22Apataye mke apata kitu chema
23Mtu maskini huomba kuhurumiwa
24Mtu mwenye marafiki wengi wanaweza kumharibu,