We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Mithali 16

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Mithali 15 Mithali Mithali 17 →

1Mipango ya moyoni ni ya mwanadamu,

2Njia zote za mtu huonekana safi machoni pake mwenyewe,

3Mkabidhi Bwana lolote ufanyalo,

4Bwana hufanya kila kitu kwa kusudi lake mwenyewe;

5Bwana huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo.

6Kwa upendo na uaminifu uovu huondolewa;

7Njia za mtu zinapompendeza Bwana,

8Afadhali kitu kidogo pamoja na haki

9Moyo wa mtu huifikiri njia yake,

10Midomo ya mfalme huzungumza kwa hekima ya kiungu,

11Vipimo na mizani za halali hutoka kwa Bwana;

12Wafalme huchukia sana kutenda maovu,

13Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu;

14Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti,

15Uso wa mfalme ungʼaapo, inamaanisha uhai;

16Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu,

17Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya;

18Kiburi hutangulia maangamizi,

19Ni afadhali kuwa mnyenyekevu katika roho

20Yeyote anayekubali mafundisho hustawi,

21Wenye hekima moyoni huitwa wenye ufahamu,

22Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwa wale walio nao,

23Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza kinywa chake,

24Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali,

25Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu,

26Shauku ya mfanyakazi humhimiza kufanya kazi;

27Mtu mbaya kabisa hupanga mabaya,

28Mtu mpotovu huchochea ugomvi,

29Mtu mkali humvuta jirani yake

30Yeye akonyezaye kwa jicho lake anapanga upotovu;

31Mvi ni taji ya utukufu;

32Ni afadhali mtu mstahimilivu kuliko shujaa,

33Kura hupigwa kwa siri,

← Mithali 15 Mithali Mithali 17 →