1Sikiliza asemalo Bwana:
2Sikilizeni, ee milima, mashtaka ya Bwana,
3“Watu wangu, nimewatendea nini?
4Nimewatoa kutoka Misri na kuwakomboa
5Watu wangu, kumbukeni jinsi Balaki mfalme wa Moabu
6Nimjie Bwana na kitu gani na kusujudu
7Je, Bwana atafurahishwa na kondoo dume elfu,
8Amekuonyesha yaliyo mema, ee mwanadamu.
9Sikiliza! Bwana anauita mji:
10Je, bado nisahau, ee nyumba ya uovu,
11Je, naweza kuhukumu kuwa
12Matajiri wake ni wajeuri;
13Kwa hiyo, nimeanza kukuharibu,
14Mtakula lakini hamtashiba;
15Mtapanda lakini hamtavuna;
16Mmezishika sheria za Omri