1Taabu gani hii niliyo nayo!
2Wanaomcha Mungu wameondolewa kutoka nchi;
3Mikono yote miwili ni hodari katika kufanya ubaya,
4Aliye mwema kupita wote kati yao
5Usimtumaini jirani;
6Kwa kuwa mwana humdharau baba yake,
7Lakini mimi, namtazama Bwana kwa matumaini,
8Usifurahie msiba wangu, ee adui yangu!
9Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake,
10Kisha adui yangu ataliona
11Siku ya kujenga kuta zako itawadia,
12Siku hiyo watu watakuja kwako
13Dunia itakuwa ukiwa kwa sababu ya wakazi wake,
14Wachunge watu wako kwa fimbo yako,
15“Kama siku zile mlipotoka Misri,
16Mataifa yataona na kuaibika,
17Wataramba mavumbi kama nyoka,
18Ni nani Mungu kama wewe,
19Utatuhurumia tena,
20Utakuwa wa kweli kwa Yakobo,