1Panga majeshi yako, ee mji wa majeshi,
2“Lakini wewe, Bethlehemu Efrathi,
3Kwa hiyo Israeli utaachwa mpaka wakati
4Atasimama na kulichunga kundi lake
5Naye atakuwa amani yao.
6Wataitawala nchi ya Ashuru kwa upanga,
7Mabaki ya Yakobo yatakuwa
8Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa,
9Mkono wako utainuliwa juu kwa ushindi juu ya watesi wako,
10“Katika siku ile,” asema Bwana,
11Nitaiangamiza miji ya nchi yenu
12Nitaangamiza uchawi wenu
13Nitaangamiza vinyago vyenu vya kuchonga
14Nitangʼoa nguzo za Ashera katikati yenu
15Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu