1Jinsi dhahabu ilivyopoteza mngʼao wake,
2Wana wa Sayuni wenye thamani,
3Hata mbweha hutoa matiti yao
4Kwa sababu ya kiu ulimi wa mtoto mchanga
5Wale waliokula vyakula vya kifahari
6Adhabu ya watu wangu
7Wakuu wao walikuwa wamengʼaa kuliko theluji
8Lakini sasa ni weusi kuliko masizi;
9Wale waliouawa kwa upanga ni bora
10Kwa mikono yao wenyewe wanawake wenye huruma
11Bwana ametoa nafasi kamilifu ya ghadhabu yake;
12Wafalme wa dunia hawakuamini,
13Lakini hili lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake,
14Sasa wanapapasa papasa barabarani
15Watu wanawapigia kelele, “Ondokeni! Ninyi ni najisi!
16Bwana mwenyewe amewatawanya;
17Zaidi ya hayo, macho yetu yalichoka,
18Watu walituvizia katika kila hatua
19Waliotufuatia walikuwa wepesi
20Mpakwa mafuta wa Bwana, pumzi ya uhai wetu hasa,
21Shangilia na ufurahi, ee Binti Edomu,
22Ee Binti Sayuni, adhabu yako itaisha,