We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Maombolezo 3

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Maombolezo 2 Maombolezo Maombolezo 4 →

1Mimi ndiye mtu aliyeona mateso

2Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee

3hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu

4Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa

5Amenizingira na kunizunguka

6Amenifanya niishi gizani

7Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka,

8Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada,

9Ameizuia njia yangu kwa mapande ya mawe,

10Kama dubu aviziaye,

11ameniburuta kutoka njia,

12Amevuta upinde wake

13Alinichoma moyo wangu kwa mishale

14Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote,

15Amenijaza kwa majani machungu

16Amevunja meno yangu kwa changarawe,

17Amani yangu imeondolewa,

18Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka

19Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu,

20Ninayakumbuka vyema,

21Hata hivyo najikumbusha neno hili

22Kwa sababu ya upendo mkuu wa Bwana, hatuangamii,

23Ni mpya kila asubuhi,

24Nimeiambia nafsi yangu, “Bwana ni fungu langu,

25Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,

26ni vyema kungojea kwa utulivu

27Ni vyema mtu kuchukua nira

28Na akae peke yake awe kimya,

29Na azike uso wake mavumbini

30Na atoe shavu lake kwa yule ampigaye,

31Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali

32Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma,

33Kwa maana hapendi kuwaletea mateso

34Kuwaponda chini ya nyayo

35Kumnyima mtu haki zake

36kumnyima mtu haki:

37Nani awezaye kusema nalo likatendeka

38Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana

39Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika

40Tuzichunguze njia zetu na kuzijaribu,

41Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu

42“Tumetenda dhambi na kuasi

43“Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia;

44Unajifunika mwenyewe kwa wingu,

45Umetufanya takataka na uchafu

46“Adui zetu wote wamefumbua vinywa vyao

47Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula,

48Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu,

49Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma,

50hadi Bwana atazame chini

51Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini

52Wale waliokuwa adui zangu bila sababu

53Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo

54maji yalifunika juu ya kichwa changu,

55Nililiitia jina lako, Ee Bwana,

56Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako

57Ulikuja karibu nilipokuita,

58Ee Bwana, ulichukua shauri langu,

59Umeona, Ee Bwana, ubaya niliotendewa.

60Umeona kina cha kisasi chao,

61Ee Bwana, umesikia matukano yao,

62kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikia

63Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama,

64Uwalipe kile wanachostahili, Ee Bwana,

65Weka pazia juu ya mioyo yao,

66Wafuatilie katika hasira na uwaangamize

← Maombolezo 2 Maombolezo Maombolezo 4 →