1Mimi ndiye mtu aliyeona mateso
2Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee
3hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu
4Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa
5Amenizingira na kunizunguka
6Amenifanya niishi gizani
7Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka,
8Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada,
9Ameizuia njia yangu kwa mapande ya mawe,
10Kama dubu aviziaye,
11ameniburuta kutoka njia,
12Amevuta upinde wake
13Alinichoma moyo wangu kwa mishale
14Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote,
15Amenijaza kwa majani machungu
16Amevunja meno yangu kwa changarawe,
17Amani yangu imeondolewa,
18Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka
19Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu,
20Ninayakumbuka vyema,
21Hata hivyo najikumbusha neno hili
22Kwa sababu ya upendo mkuu wa Bwana, hatuangamii,
23Ni mpya kila asubuhi,
24Nimeiambia nafsi yangu, “Bwana ni fungu langu,
25Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,
26ni vyema kungojea kwa utulivu
27Ni vyema mtu kuchukua nira
28Na akae peke yake awe kimya,
29Na azike uso wake mavumbini
30Na atoe shavu lake kwa yule ampigaye,
31Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali
32Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma,
33Kwa maana hapendi kuwaletea mateso
34Kuwaponda chini ya nyayo
35Kumnyima mtu haki zake
36kumnyima mtu haki:
37Nani awezaye kusema nalo likatendeka
38Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana
39Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika
40Tuzichunguze njia zetu na kuzijaribu,
41Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu
42“Tumetenda dhambi na kuasi
43“Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia;
44Unajifunika mwenyewe kwa wingu,
45Umetufanya takataka na uchafu
46“Adui zetu wote wamefumbua vinywa vyao
47Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula,
48Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu,
49Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma,
50hadi Bwana atazame chini
51Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini
52Wale waliokuwa adui zangu bila sababu
53Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo
54maji yalifunika juu ya kichwa changu,
55Nililiitia jina lako, Ee Bwana,
56Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako
57Ulikuja karibu nilipokuita,
58Ee Bwana, ulichukua shauri langu,
59Umeona, Ee Bwana, ubaya niliotendewa.
60Umeona kina cha kisasi chao,
61Ee Bwana, umesikia matukano yao,
62kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikia
63Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama,
64Uwalipe kile wanachostahili, Ee Bwana,
65Weka pazia juu ya mioyo yao,
66Wafuatilie katika hasira na uwaangamize