We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 8

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 7 Ayubu Ayubu 9 →

1Kisha Bildadi Mshuhi akajibu:

2“Hata lini wewe utasema mambo kama haya?

3Je, Mungu hupotosha hukumu?

4Watoto wako walipomtenda dhambi,

5Lakini ukimtafuta Mungu,

6ikiwa wewe ni safi na mnyofu,

7Ijapokuwa mwanzo wako ulikuwa mdogo,

8“Ukaulize vizazi vilivyotangulia

9kwa kuwa sisi tumezaliwa jana tu na hatujui lolote,

10Je, hawatakufundisha na kukueleza?

11Je, mafunjo yaweza kumea mahali pasipo na matope?

12Wakati bado yanaendelea kukua kabla ya kukatwa,

13Huu ndio mwisho wa watu wote wanaomsahau Mungu;

14Lile analolitumainia huvunjika upesi;

15Huutegemea utando wake, lakini hausimami;

16Yeye ni kama mti ulionyeshewa vizuri wakati wa jua,

17huifunganisha mizizi yake kwenye lundo la mawe,

18Unapongʼolewa kutoka mahali pake,

19Hakika uhai wake hunyauka,

20“Hakika Mungu hamkatai mtu asiye na hatia,

21Bado atakijaza kinywa chako na kicheko,

22Adui zako watavikwa aibu,

← Ayubu 7 Ayubu Ayubu 9 →