We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 7

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 6 Ayubu Ayubu 8 →

1“Je, mwanadamu hana kazi ngumu duniani?

2Kama mtumwa anavyovionea shauku vivuli vya jioni,

3ndivyo nilivyogawiwa miezi ya ubatili,

4Wakati nilalapo ninawaza, ‘Itachukua muda gani kabla sijaamka?’

5Mwili wangu umevikwa mabuu na uchafu,

6“Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma,

7Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi;

8Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena;

9Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka,

10Kamwe harudi tena nyumbani mwake;

11“Kwa hiyo sitanyamaza;

12Je, mimi ni bahari, au mnyama mkubwa mno akaaye vilindini,

13Ninapofikiri kwamba kitanda changu kitanifariji,

14ndipo wanitisha kwa ndoto

15hivyo ninachagua kujinyonga na kufa,

16Ninayachukia maisha yangu; nisingetamani kuendelea kuishi.

17“Mwanadamu ni kitu gani hata umjali kiasi hiki,

18kwamba unamwangalia kila asubuhi

19Je, hutaacha kamwe kunitazama,

20Ikiwa nimetenda dhambi, nimekufanyia nini,

21Kwa nini husamehi makosa yangu

← Ayubu 6 Ayubu Ayubu 8 →