We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 19

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 18 Ayubu Ayubu 20 →

1Ndipo Ayubu akajibu:

2“Je, mtaendelea kunitesa mpaka lini,

3Mara kumi hizi mmenishutumu;

4Kama ni kweli nimepotoka,

5Kama kweli mngejitukuza wenyewe juu yangu,

6basi jueni kuwa Mungu amenitendea yaliyo mabaya,

7“Ingawa ninalia, ‘Nimetendewa mabaya!’ sipati jibu;

8Yeye ameizuia njia yangu hivyo siwezi kupita;

9Amenivua heshima yangu,

10Amenibomoa kila upande hadi nimeisha;

11Hasira yake imewaka juu yangu;

12Majeshi yake yananisogelea kwa nguvu;

13“Amewatenga ndugu zangu mbali nami;

14Watu wa jamaa yangu wamekwenda mbali;

15Wageni wangu na watumishi wangu wa kike wananiona kama mgeni;

16Namwita mtumishi wangu, wala haitiki,

17Pumzi ya kinywa changu ni kinyaa kwa mke wangu;

18Hata watoto wadogo hunidhihaki;

19Rafiki zangu wa moyoni wote wananichukia kabisa;

20Mimi nimebaki mifupa na ngozi tu;

21“Nihurumieni, rafiki zangu, kuweni na huruma,

22Kwa nini mnanifuatia kama Mungu afanyavyo?

23“Laiti maneno yangu yangewekwa kwenye kumbukumbu,

24kwamba yangechorwa kwenye risasi kwa kifaa cha chuma,

25Ninajua kwamba Mkombozi19:25 Au: Mtetezi. wangu yu hai,

26Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa,

27mimi nitamwona kwa macho yangu mwenyewe:

28“Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda,

29ninyi wenyewe uogopeni upanga,

← Ayubu 18 Ayubu Ayubu 20 →