We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 18

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 17 Ayubu Ayubu 19 →

1Bildadi Mshuhi akajibu:

2“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya?

3Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama,

4Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande

5“Taa ya mwovu imezimwa,

6Mwanga hemani mwake umekuwa giza;

7Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa;

8Miguu yake imemsukumia kwenye wavu,

9Tanzi litamkamata kwenye kisigino;

10Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake;

11Vitisho vimemtia hofu kila upande,

12Janga linamwonea shauku;

13Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake;

14Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake,

15Moto utakaa katika hema lake;

16Mizizi yake chini itakauka

17Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia,

18Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani,

19Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake,

20Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata;

21Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu;

← Ayubu 17 Ayubu Ayubu 19 →