1“Macho yangu yameona hili lote,
2Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua;
3Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi
4Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo;
5Laiti wote mngenyamaza kimya!
6Sikieni sasa hoja yangu;
7Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu?
8Mtamwonyesha upendeleo?
9Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi?
10Hakika angewakemea
11Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi?
12Maneno yenu ni mithali za majivu;
13“Nyamazeni kimya nipate kusema;
14Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari
15Ingawa ataniua, bado nitamtumaini;
16Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu,
17Sikilizeni maneno yangu kwa makini;
18Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu,
19Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu?
20“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili,
21Ondoa mkono wako uwe mbali nami,
22Niite kwenye shauri nami nitajibu,
23Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda?
24Kwa nini kuuficha uso wako
25Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo?
26Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu
27Umeifunga miguu yangu kwenye pingu.
28“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza,