1Ndipo Ayubu akajibu:
2“Bila shaka ninyi ndio watu,
3Lakini mimi ninao ufahamu kama ninyi;
4“Nimekuwa mtu wa kuchekwa na rafiki zangu,
5Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba
6Hema za wanyangʼanyi hazisumbuliwi,
7“Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha,
8au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha,
9Ni nani miongoni mwa hawa wote asiyejua
10Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe,
11Je, sikio haliyajaribu maneno
12Je, hekima haipatikani katikati ya wazee?
13“Hekima na nguvu ni vya Mungu;
14Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena;
15Akizuia maji, huwa pana ukame;
16Kwake kuna nguvu na ushindi;
17Yeye huwaondoa washauri wakiwa wametekwa nyara,
18Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme,
19Huwaondoa makuhani wakiwa wametekwa nyara,
20Hunyamazisha midomo ya washauri wanaoaminika,
21Huwamwagia dharau wanaoheshimika,
22Hufunua mambo ya ndani ya gizani,
23Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza;
24Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao;
25Hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga;