We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 11

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 10 Ayubu Ayubu 12 →

1Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:

2“Je, maneno haya yote yapite bila kujibiwa?

3Je, maneno yako ya upuzi yawafanye watu wanyamaze kimya?

4Unamwambia Mungu, ‘Imani yangu ni kamili

5Aha! Laiti kwamba Mungu angesema,

6naye akufunulie siri za hekima,

7“Je, waweza kujua siri za Mungu?

8Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini?

9Kipimo chake ni kirefu kuliko dunia,

10“Kama akija na kukufunga gerezani,

11Hakika anawatambua watu wadanganyifu;

12Mpumbavu aweza kuwa mwenye hekima,

13“Hata sasa ukiutoa moyo wako kwake

14ukiiondolea mbali ile dhambi iliyo mkononi mwako

15ndipo utainua uso wako bila aibu;

16Hakika utaisahau taabu yako,

17Maisha yako yatangʼaa kuliko adhuhuri,

18Utakuwa salama, kwa kuwa lipo tumaini;

19Utalala, wala hakuna atakayekuogofya,

20Bali macho ya waovu hayataona,

← Ayubu 10 Ayubu Ayubu 12 →