1Hili ndilo neno alilosema Bwana kupitia nabii Yeremia kuhusu Babeli na nchi ya Wakaldayo:
2“Tangazeni na mhubiri katikati ya mataifa,
3Taifa kutoka kaskazini litamshambulia,
4“Katika siku hizo, wakati huo,”
5Wataiuliza njia iendayo Sayuni
6“Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea;
7Yeyote aliyewakuta aliwala;
8“Kimbieni kutoka Babeli;
9Kwa maana nitaamsha na kuleta dhidi ya Babeli
10Kwa hiyo Ukaldayo utatekwa nyara;
11“Kwa sababu hushangilia na kufurahi,
12mama yako ataaibika mno,
13Kwa sababu ya hasira ya Bwana hatakaliwa na mtu,
14“Shikeni nafasi zenu kuzunguka Babeli,
15Piga kelele dhidi yake kila upande!
16Katilieni mbali mpanzi kutoka Babeli,
17“Israeli ni kundi lililotawanyika
18Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo:
19Lakini nitamrudisha Israeli katika malisho yake mwenyewe
20Katika siku hizo, wakati huo,”
21“Shambulieni nchi ya Merathaimu
22Kelele ya vita iko ndani ya nchi,
23Tazama jinsi nyundo ya dunia yote
24Nimetega mtego kwa ajili yako, ee Babeli,
25Bwana amefungua ghala lake la silaha
26Njooni dhidi yake kutoka mbali.
27Waueni mafahali wake wachanga wote;
28Wasikilizeni watoro na wakimbizi kutoka Babeli
29“Waiteni wapiga mishale dhidi ya Babeli,
30Kwa hiyo, vijana wake wanaume wataanguka barabarani;
31“Tazama, niko kinyume nawe, ewe mwenye majivuno,”
32Mwenye majivuno atajikwaa na kuanguka,
33Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote:
34Lakini Mkombozi wao ana nguvu;
35“Upanga dhidi ya Wakaldayo!”
36Upanga dhidi ya manabii wake wa uongo!
37Upanga dhidi ya farasi na magari yake ya vita
38Ukame juu ya maji yake!
39“Kwa hiyo, viumbe vya jangwani na fisi wataishi humo,
40Kama vile Mungu alivyoangamiza Sodoma na Gomora
41“Tazama! Jeshi linakuja kutoka kaskazini;
42Wamejifunga pinde na mikuki;
43Mfalme wa Babeli amesikia habari kuwahusu,
44Kama simba anayepanda kutoka vichaka vya Yordani
45Kwa hiyo, sikia kile Bwana alichokipanga dhidi ya Babeli,
46Kwa sauti ya kutekwa kwa Babeli, dunia itatetemeka;