1Hili ndilo asemalo Bwana:
2Nitawatuma wageni Babeli
3Usimwache mpiga upinde afunge kamba upinde wake,
4Wataanguka waliouawa katika Babeli,
5Kwa maana Israeli na Yuda hawajaachwa
6“Kimbieni kutoka Babeli!
7Babeli alikuwa kikombe cha dhahabu katika mkono wa Bwana;
8Babeli ataanguka ghafula na kuvunjika.
9“ ‘Tungemponya Babeli,
10“ ‘Bwana amethibitisha haki yetu;
11“Noeni mishale,
12Twekeni bendera juu ya kuta za Babeli!
13Wewe uishiye kando ya maji mengi
14Bwana Mwenye Nguvu Zote
15“Aliiumba dunia kwa uweza wake;
16Atoapo sauti yake, maji yaliyo katika mbingu hunguruma,
17“Kila mtu ni mjinga na hana maarifa;
18Havifai kitu, ni vitu vya kufanyia mzaha,
19Yeye Aliye Fungu la Yakobo sivyo alivyo,
20“Wewe ndiwe rungu langu la vita,
21kwa wewe navunjavunja
22kwa wewe napondaponda
23kwa wewe nampondaponda
24“Mbele ya macho yako nitamlipiza Babeli na wote waishio Ukaldayo kwa ajili ya makosa yote waliyofanya katika Sayuni,” asema Bwana.
25“Mimi niko kinyume nawe, ee mlima unaoharibu,
26Hakuna jiwe litakalochukuliwa kutoka kwako
27“Twekeni bendera katika nchi!
28Andaeni mataifa kwa ajili ya vita dhidi yake,
29Nchi inatetemeka na kugaagaa,
30Mashujaa wa Babeli wameacha kupigana,
31Tarishi mmoja humfuata mwingine,
32Vivuko vya mito vimekamatwa,
33Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo:
34“Nebukadneza mfalme wa Babeli ametula,
35Jeuri iliyofanyiwa miili yetu51:35 Au: Jeuri tuliyofanyiwa sisi na watoto wetu. na iwe juu ya Babeli,”
36Kwa hiyo, hili ndilo Bwana asemalo:
37Babeli utakuwa lundo la magofu
38Watu wake wote wananguruma kama simba wadogo,
39Lakini wakati wakiwa wameamshwa,
40“Nitawateremsha kama wana-kondoo waendao machinjoni,
41“Tazama jinsi Sheshaki51:41 Sheshaki ni Babeli kwa fumbo. atakamatwa,
42Bahari itainuka juu ya Babeli;
43Miji yake itakuwa ukiwa,
44Nitamwadhibu Beli katika Babeli,
45“Tokeni ndani yake, enyi watu wangu!
46Msikate tamaa wala msiogope tetesi
47Kwa kuwa hakika wakati utawadia
48Ndipo mbingu na dunia na vyote vilivyomo ndani yake
49“Babeli ni lazima aanguke kwa sababu ya kuwaua Waisraeli,
50Wewe uliyepona upanga,
51“Tumetahayari, kwa maana tumetukanwa
52“Lakini siku zinakuja,” asema Bwana,
53Hata kama Babeli ikifika angani
54“Sauti ya kilio inasikika kutoka Babeli,
55Bwana ataiangamiza Babeli,
56Mharabu atakuja dhidi ya Babeli,
57Nitawafanya maafisa wake na wenye busara walewe,
58Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo:
59Huu ndio ujumbe Yeremia aliompa afisa Seraya mwana wa Neria mwana wa Maaseya, alipokwenda Babeli pamoja na Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa nne wa utawala wake.
60Yeremia alikuwa ameandika ndani ya kitabu kuhusu maafa yote yatakayoipata Babeli, yaani yote yaliyokuwa yameandikwa kuhusu Babeli.
61Yeremia akamwambia Seraya, “Utakapofika Babeli, hakikisha kwamba umesoma maneno haya yote kwa sauti kubwa.
62Kisha sema, ‘Ee Bwana, umesema utaangamiza mahali hapa ili mtu wala mnyama asiishi ndani yake, napo patakuwa ukiwa milele.’
63Utakapomaliza kusoma hiki kitabu, kifungie jiwe kisha ukitupe ndani ya Mto Frati.
64Kisha sema, ‘Hivi ndivyo Babeli utakavyozama na usiinuke tena, kwa sababu ya maafa nitakayoleta juu yake. Nao watu wake wataanguka.’ ”