We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Yoeli 2

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Yoeli 1 Yoeli Yoeli 3 →

1Pigeni tarumbeta katika Sayuni;

2siku ya giza na huzuni,

3Mbele yao moto unateketeza,

4Wanaonekana kama farasi;

5Wanatoa sauti kama magari ya vita,

6Wanapoonekana, mataifa yanakuwa katika maumivu makuu;

7Wanashambulia kama wapiganaji wa vita;

8Hakuna anayemsukuma mwenzake;

9Wanaenda kasi kuingia mjini;

10Mbele yao dunia inatikisika,

11Bwana anatoa mshindo wa ngurumo

12“Hata sasa,” asema Bwana,

13Rarueni mioyo yenu

14Ni nani ajuaye? Yeye aweza kugeuka na kuwa na huruma

15Pigeni tarumbeta katika Sayuni,

16Wakusanyeni watu,

17Makuhani, ambao wanahudumu mbele za Bwana,

18Kisha Bwana atakuwa na wivu kwa ajili ya nchi yake

19Bwana atawajibu:

20“Nitafukuza jeshi la kaskazini likae mbali nanyi,

21Usiogope, ee nchi;

22Msiogope, enyi wanyama pori,

23Furahini, enyi watu wa Sayuni,

24Sakafu za kupuria zitajaa nafaka,

25“Nitawalipa kwa ajili ya miaka ile iliyoliwa na nzige:

26Mtakuwa na wingi wa vyakula mpaka mshibe,

27Ndipo mtakapojua kwamba mimi niko katika Israeli

28“Hata itakuwa, baada ya hayo,

29Hata juu ya watumishi wangu, wanaume kwa wanawake,

30Nami nitaonyesha maajabu katika mbingu

31Jua litageuzwa kuwa giza

32Na kila mtu atakayeliitia

← Yoeli 1 Yoeli Yoeli 3 →