1Neno la Bwana ambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli.
2Sikilizeni hili, enyi wazee;
3Waelezeni watoto wenu,
4Kilichosazwa na kundi la tunutu
5Amkeni, enyi walevi, mlie!
6Taifa limevamia nchi yangu,
7Limeharibu mizabibu yangu
8Omboleza kama bikira aliyevaa nguo ya gunia
9Sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji
10Mashamba yameharibiwa,
11Kateni tamaa, enyi wakulima,
12Mzabibu umekauka
13Vaeni nguo ya gunia, enyi makuhani, muomboleze;
14Tangazeni saumu takatifu;
15Ole kwa siku hiyo!
16Je, chakula hakikukatiliwa mbali
17Mbegu zinakauka
18Jinsi gani ngʼombe wanavyolia!
19Kwako, Ee Bwana, naita,
20Hata wanyama wa porini wanakuonea shauku;