We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Yoeli 1

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

Yoeli Yoeli 2 →

1Neno la Bwana ambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli.

2Sikilizeni hili, enyi wazee;

3Waelezeni watoto wenu,

4Kilichosazwa na kundi la tunutu

5Amkeni, enyi walevi, mlie!

6Taifa limevamia nchi yangu,

7Limeharibu mizabibu yangu

8Omboleza kama bikira aliyevaa nguo ya gunia

9Sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji

10Mashamba yameharibiwa,

11Kateni tamaa, enyi wakulima,

12Mzabibu umekauka

13Vaeni nguo ya gunia, enyi makuhani, muomboleze;

14Tangazeni saumu takatifu;

15Ole kwa siku hiyo!

16Je, chakula hakikukatiliwa mbali

17Mbegu zinakauka

18Jinsi gani ngʼombe wanavyolia!

19Kwako, Ee Bwana, naita,

20Hata wanyama wa porini wanakuonea shauku;

Yoeli Yoeli 2 →