We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 21

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 20 Ayubu Ayubu 22 →

1Ndipo Ayubu akajibu:

2“Yasikilizeni maneno yangu kwa makini;

3Nivumilieni ninapozungumza,

4“Je, kwani malalamiko yangu yanaelekezwa kwa mwanadamu?

5Niangalieni mkastaajabu;

6Ninapowaza juu ya hili, ninaogopa,

7Kwa nini waovu wanaendelea kuishi,

8Huwaona watoto wao wakithibitika

9Nyumba zao zi salama wala hakuna hofu;

10Madume yao ya ngʼombe huvyaza bila kushindwa kamwe;

11Huwatoa watoto wao nje kama kundi;

12Huimba nyimbo kwa matari na kwa kinubi,

13Huitumia miaka yao katika mafanikio

14Lakini humwambia Mungu, ‘Tuache sisi!’

15Mwenyezi ni nani hata tumtumikie?

16Lakini kufanikiwa kwao hakupo mikononi mwao wenyewe,

17“Lakini ni mara ngapi taa ya waovu huzimwa?

18Ni mara ngapi huwa kama majani makavu mbele ya upepo,

19Imesemekana, ‘Mungu huiweka akiba adhabu ya mtu

20Macho yake mwenyewe na yaone maangamizi yake;

21Kwani anajali nini kuhusu jamaa anayoiacha nyuma,

22“Je, yuko mtu yeyote awezaye kumfundisha Mungu maarifa,

23Mtu mmoja hufa akiwa na nguvu zake kamili,

24mwili wake ukiwa umenawiri,

25Mtu mwingine hufa katika uchungu wa nafsi,

26Hao wote hulala mavumbini,

27“Ninayajua kikamilifu yale mnayoyafikiri,

28Mwasema, ‘Iko wapi sasa nyumba ya huyo mtu mkuu,

29Je, hamkuwahi kuwauliza hao wanaosafiri?

30kwamba mtu mwovu huepushwa kutoka siku ya maafa,

31Ni nani hulaumu matendo yake mbele ya uso wake?

32Hupelekwa kaburini,

33Udongo ulio bondeni ni mtamu kwake;

34“Hivyo ninyi mnawezaje kunifariji kwa upuzi wenu?

← Ayubu 20 Ayubu Ayubu 22 →