We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 22

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 21 Ayubu Ayubu 23 →

1Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:

2“Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu?

3Je, Mwenyezi angefurahia nini

4“Je, ni kwa ajili ya utaua wako ndiyo maana anakukemea

5Je, uovu wako si mkuu?

6Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu;

7Hukumpa maji aliyechoka,

8ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi:

9Umewafukuza wajane mikono mitupu

10Ndiyo sababu mitego imekuzunguka pande zote,

11ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona,

12“Je, Mungu hayuko katika mbingu za juu?

13Hivyo wewe wasema, ‘Mungu anajua nini?’

14Mawingu mazito ni pazia lake, hivyo hatuoni sisi

15Je, utaifuata njia ya zamani,

16Waliondolewa kabla ya wakati wao,

17Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi!

18Lakini ndiye alizijaza nyumba zao na vitu vizuri,

19“Wenye haki wanaona maangamizi yao na kufurahi,

20‘Hakika adui zetu wameangamizwa,

21“Mjue sana Mungu ili uwe na amani,

22Uyapokee mafundisho toka kinywani mwake,

23Kama ukimrudia Mwenyezi, utarudishwa upya:

24kama dhahabu yako ukiihesabu kama mavumbi,

25ndipo Mwenyezi atakuwa dhahabu yako,

26Hakika ndipo utakapojifurahisha kwa Mwenyezi,

27Utamwomba yeye, naye atakusikia,

28Utakusudia jambo nalo litatendeka,

29Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, ‘Wainue!’

30Atamwokoa hata yule ambaye ana hatia,

← Ayubu 21 Ayubu Ayubu 23 →