We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 23

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 22 Ayubu Ayubu 24 →

1Ndipo Ayubu akajibu:

2“Hata leo malalamiko yangu ni chungu;

3Laiti ningefahamu mahali pa kumwona;

4Ningeliweka shauri langu mbele zake,

5Ningejua kwamba angenijibu nini,

6Je, angenipinga kwa nguvu nyingi?

7Hapo mtu mwadilifu angeweka shauri lake mbele zake,

8“Lakini nikienda mashariki, hayupo;

9Anapokuwa kazini pande za kaskazini, simwoni;

10Lakini anaijua njia niiendeayo;

11Nyayo zangu zimefuata hatua zake kwa karibu;

12Sijaziacha amri zilizotoka midomoni mwake;

13“Lakini yeye husimama peke yake; ni nani awezaye kumpinga?

14Hutimiliza maagizo yake dhidi yangu,

15Hiyo ndiyo sababu ninaingiwa na hofu mbele zake;

16Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia;

17Hata hivyo sijanyamazishwa na giza,

← Ayubu 22 Ayubu Ayubu 24 →