1“Piga kelele, usizuie.
2Kwa maana kila siku hunitafuta,
3Wao husema, ‘Mbona tumefunga, nawe hujaona?
4Kufunga kwenu huishia kwenye magomvi na mapigano,
5Je, hii ndiyo aina ya mfungo niliouchagua,
6“Je, hii si ndiyo aina ya mfungo niliyoichagua:
7Je, sio kushirikiana chakula chako na wenye njaa
8Ndipo nuru yako itajitokeza kama mapambazuko
9Ndipo utaita, naye Bwana atajibu,
10nanyi kama mkimkunjulia mtu mwenye njaa nafsi zenu
11Bwana atakuongoza siku zote,
12Watu wako watajenga tena magofu ya zamani
13“Kama ukitunza miguu yako isivunje Sabato,
14ndipo utakapojipatia furaha yako katika Bwana,