1Mwenye haki hupotea,
2Wale waendao kwa unyofu
3“Lakini ninyi:
4Mnamdhihaki nani?
5Mnawaka tamaa katikati ya mialoni
6“Sanamu zilizo katikati ya mawe laini ya mabondeni ndizo fungu lenu;
7Umeweka kitanda chako juu kwenye kilima kirefu kilichoinuka,
8Nyuma ya milango yako na miimo yako
9Ulikwenda kwa Moleki57:9 Moleki alikuwa mungu aliyekuwa anaabudiwa na Waamoni; pia alijulikana kama Malkomu, Maloki au Kemoshi wa Moabu. ukiwa na mafuta ya zeituni,
10Ulikuwa umechoshwa na njia zako zote,
11“Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa
12Nitaifunua haki yako na matendo yako,
13Utakapolia kwa kuhitaji msaada,
14Tena itasemwa:
15Kwa maana hili ndilo asemalo Aliye juu, yeye aliyeinuliwa sana,
16Sitaendelea kulaumu milele,
17Nilighadhibika na tamaa yake ya dhambi;
18Nimeziona njia zake, lakini nitamponya,
19nikiumba sifa midomoni ya waombolezaji
20Bali waovu ni kama bahari ichafukayo,
21Mungu wangu asema,