1“Nisikilizeni, ninyi mnaofuatia haki
2mwangalieni Abrahamu, baba yenu,
3Hakika Bwana ataifariji Sayuni,
4“Nisikilizeni, watu wangu;
5Haki yangu inakaribia mbio,
6Inueni macho yenu mbinguni,
7“Nisikieni, ninyi mnaojua lililo sawa,
8Kwa maana nondo atawala kama vazi,
9Amka, Amka! Jivike nguvu,
10Si ni wewe uliyekausha bahari,
11Wale waliolipiwa fidia na Bwana watarudi.
12“Mimi, naam mimi,
13kwamba mnamsahau Bwana Muumba wenu,
14Wafungwa waliojikunyata kwa hofu
15Kwa maana Mimi ndimi Bwana, Mungu wako,
16Nimeweka maneno yangu kinywani mwako
17Amka, amka!
18Kati ya wana wote aliowazaa
19Majanga haya mawili yamekuja juu yako:
20Wana wako wamezimia,
21Kwa hiyo sikiliza hili, wewe uliyeteswa,
22Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi wako,
23Nitakiweka mikononi mwa watesi wako,