1Hili ndilo asemalo Bwana:
2Nilipokuja, kwa nini hakuwepo hata mmoja?
3Ninalivika anga weusi na kufanya nguo ya gunia
4Bwana Mwenyezi amenipa ulimi uliofundishwa,
5Bwana Mwenyezi amezibua masikio yangu,
6Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao,
7Kwa sababu Bwana Mwenyezi ananisaidia,
8Yeye anipatiaye haki yangu yu karibu.
9Ni Bwana Mwenyezi anisaidiaye mimi.
10Ni nani miongoni mwenu amchaye Bwana,
11Lakini sasa, ninyi nyote mnaowasha mioto,