We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 42

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 41 Isaya Isaya 43 →

1“Huyu hapa mtumishi wangu, ninayemtegemeza,

2Hatapaza sauti wala kupiga kelele,

3Mwanzi uliopondeka hatauvunja,

4hatazimia roho wala kukata tamaa,

5Hili ndilo asemalo Mungu, Bwana,

6“Mimi, Bwana, nimekuita katika haki;

7kuwafungua macho wale wasioona,

8“Mimi ndimi Bwana; hilo ndilo Jina langu!

9Tazama, mambo ya kwanza yametokea,

10Mwimbieni Bwana wimbo mpya,

11Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao;

12Wampe Bwana utukufu,

13Bwana ataenda kama mtu mwenye nguvu,

14“Kwa muda mrefu nimenyamaza kimya,

15Nitaharibu milima na vilima

16Nitawaongoza vipofu kwenye njia ambayo hawajaijua,

17Lakini wale wanaotumaini sanamu,

18“Sikieni, enyi viziwi;

19Ni nani aliye kipofu isipokuwa mtumishi wangu,

20Mmeona vitu vingi, lakini hamkuzingatia;

21Ilimpendeza Bwana

22Lakini hili ni taifa lililoibwa na kutekwa nyara,

23Ni nani miongoni mwenu atakayesikiliza hili,

24Ni nani aliyemtoa Yakobo kuwa mateka,

25Hivyo akawamwagia hasira yake inayowaka,

← Isaya 41 Isaya Isaya 43 →