We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 43

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 42 Isaya Isaya 44 →

1Lakini sasa hili ndilo asemalo Bwana,

2Unapopita kwenye maji makuu,

3Kwa kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wako,

4Kwa kuwa wewe ni wa thamani na wa kuheshimiwa machoni pangu,

5Usiogope, kwa kuwa mimi nipo pamoja nawe,

6Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’

7kila mmoja ambaye ameitwa kwa Jina langu,

8Uwaongoze wale wenye macho lakini hawaoni,

9Mataifa yote yanakutanika pamoja,

10“Ninyi ni mashahidi wangu,” asema Bwana,

11Mimi, naam mimi, ndimi Bwana,

12Nimedhihirisha, kuokoa na kutangaza:

13Naam, tangu siku za kale, Mimi ndiye.

14Hili ndilo Bwana asemalo,

15Mimi ndimi Bwana, yeye Aliye Mtakatifu wako,

16Hili ndilo asemalo Bwana,

17aliyeyakokota magari ya vita na farasi,

18“Msiyakumbuke mambo yaliyopita,

19Tazama, nitafanya jambo jipya!

20Wanyama wa mwituni wataniheshimu,

21watu wale niliowaumba kwa ajili yangu,

22“Hata hivyo hukuniita mimi, ee Yakobo,

23Hujaniletea kondoo kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa,

24Hukuninunulia uvumba wowote wenye manukato,

25“Mimi, naam mimi, ndimi nizifutaye dhambi zako,

26Tafakari mambo yaliyopita,

27Baba yako wa kwanza alitenda dhambi,

28Kwa hiyo nitawaaibisha wakuu wa Hekalu lako,

← Isaya 42 Isaya Isaya 44 →