We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 34

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 33 Isaya Isaya 35 →

1Njooni karibu, enyi mataifa, nanyi msikilize;

2Bwana ameyakasirikia mataifa yote;

3Waliouawa watatupwa nje,

4Nyota zote za mbinguni zitayeyuka

5Upanga wangu umekunywa na kushiba huko mbinguni,

6Upanga wa Bwana umeoga katika damu,

7Nyati wataanguka pamoja nao,

8Kwa sababu Bwana anayo siku ya kulipiza kisasi,

9Vijito vya Edomu vitageuka kuwa lami,

10Haitazimishwa usiku wala mchana,

11Bundi wa jangwani na bundi mwenye sauti nyembamba wataimiliki,

12Watu wake wa kuheshimiwa hawatakuwa na chochote

13Miiba itaenea katika ngome za ndani,

14Viumbe vya jangwani vitakutana na fisi,

15Bundi wataweka viota huko na kutaga mayai,

16Angalieni katika gombo la Bwana na msome:

17Huwagawia sehemu zao,

← Isaya 33 Isaya Isaya 35 →