1Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada,
2Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa,
3Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu,
4Hili ndilo Bwana analoniambia:
5Kama ndege warukao,
6Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.
7Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
8“Ashuru itaanguka kwa upanga ambao si wa mwanadamu;
9Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu;