We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 30

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 29 Isaya Isaya 31 →

1Bwana asema,

2wale washukao kwenda Misri

3Lakini ulinzi wa Farao utakuwa kwa aibu yenu,

4Ingawa wana maafisa katika Soani

5kila mmoja ataaibishwa

6Neno kuhusu wanyama wa Negebu:

7kuvipeleka Misri,

8Nenda sasa, liandike neno hili juu ya kibao kwa ajili yao,

9Hawa ni watu waasi, watoto wadanganyifu,

10Wanawaambia waonaji,

11Acheni njia hii,

12Kwa hiyo, hili ndilo asemalo yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli:

13dhambi hii itakuwa kwenu

14Utavunjika vipande vipande kama chombo cha udongo

15Hili ndilo Bwana Mwenyezi, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, asemalo:

16Mlisema, ‘Hapana, tutakimbia kwa farasi.’

17Watu 1,000 watakimbia

18Hata hivyo Bwana anatamani kutupatia neema,

19Enyi watu wa Sayuni, mnaoishi Yerusalemu, hamtalia tena. Tazameni jinsi atakavyokuwa na huruma mtakapolia kwa kumwomba msaada! Mara asikiapo, atawajibu.

20Ingawa Bwana huwapa chakula cha shida na maji ya taabu, walimu wenu hawatafichwa tena, kwa macho yenu wenyewe mtawaona.

21Mkigeuka kuume au kushoto, masikio yenu yatasikia sauti nyuma yenu ikisema, “Hii ndiyo njia, ifuateni.”

22Kisha mtanajisi sanamu zenu zilizofunikwa kwa fedha, na vinyago vyenu vilivyofunikwa kwa dhahabu. Mtazitupilia mbali kama vitambaa vya wakati wa hedhi na kuziambia, “Haya, tokeni hapa!”

23Pia atawapa mvua kwa ajili ya mbegu mnazootesha ardhini, chakula kinachotoka ardhini kitakuwa kizuri sana, tena tele. Katika siku ile, ngʼombe wenu watalisha katika shamba pana la majani.

24Maksai na punda walimao watakula majani makavu na vyakula vilivyotengenezwa, vinavyotandazwa kwa uma na sepeto.

25Katika siku ile ya mauaji makuu, wakati minara itakapoanguka, vijito vya maji vitatiririka juu ya kila mlima mrefu na kila kilima kilichoinuka sana.

26Mwezi utaangaza kama jua, nao mwanga wa jua utangʼaa mara saba zaidi, kama nuru ya siku saba, wakati Bwana atakapoyafunga majeraha ya watu wake na kuwaponya vidonda alivyowatia.

27Tazama, Jina la Bwana linakuja kutoka mbali,

28Pumzi yake ni kama mkondo wa maji yaendayo kasi,

29Nanyi mtaimba kama usiku ule mnaadhimisha

30Bwana atawasababisha watu waisikie sauti yake ya utukufu,

31Sauti ya Bwana itaivunjavunja Ashuru,

32Kila pigo Bwana atakaloliweka juu yao

33Tofethi imeandaliwa toka zamani,

← Isaya 29 Isaya Isaya 31 →